Swali: Baadhi ya vijana wanasema kuwa Ashaa´irah na Ahl-ul-Bid´ah wengine wanaweza kuwa wamepatia. Ni ipi hukumu ya kusema hivo?
Jibu: Wanaweza kuwa wamepatia ilihali ni Ahl-ul-Bid´ah? Maneno aina gani haya? Ahl-ul-Bid´ah si wenye kupatia.
- Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Sharh ´Umdat-il-Fiqh (31)
- Imechapishwa: 12/03/2022
Swali: Baadhi ya vijana wanasema kuwa Ashaa´irah na Ahl-ul-Bid´ah wengine wanaweza kuwa wamepatia. Ni ipi hukumu ya kusema hivo?
Jibu: Wanaweza kuwa wamepatia ilihali ni Ahl-ul-Bid´ah? Maneno aina gani haya? Ahl-ul-Bid´ah si wenye kupatia.
Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: Sharh ´Umdat-il-Fiqh (31)
Imechapishwa: 12/03/2022
https://firqatunnajia.com/ahl-ul-bidah-wanaweza-kuwa-wenye-kupatia/