Swali: Ni ipi faida ya kuchukua ahadi kutoka mgongo wa baba yao Aadam?
Jibu: Makusudio ni kwamba ahadi ilichukuliwa kupitia Aadam, na si kwa mtu mmojammoja. Ahadi ilichukuliwa kupitia Aadam peke yake. Kuhusu mtu mmojammoja ahadi inachukuliwa kwake kupitia Mitume wanaomjia.
Swali: Nini makusudio ya:
أَلَسْتُ بِرَبِّكُمْ ۖ قَالُوا بَلَىٰ ۛ شَهِدْنَا
“Je, Mimi siye Mola wenu?” Wakasema: “Ndio bila shaka, tumeshuhudia!”[1]?
Jibu: Hii ilikuwa katika migongo yao; ahadi haichukuliwi kutoka kwao isipokuwa baada ya kujiwa na Mitume.
[1] 07:172
- Muhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: https://binbaz.org.sa/fatwas/31369/ما-الحكمة-من-اخذ-العهد-من-ظهور-بني-ادم
- Imechapishwa: 23/10/2025
Swali: Ni ipi faida ya kuchukua ahadi kutoka mgongo wa baba yao Aadam?
Jibu: Makusudio ni kwamba ahadi ilichukuliwa kupitia Aadam, na si kwa mtu mmojammoja. Ahadi ilichukuliwa kupitia Aadam peke yake. Kuhusu mtu mmojammoja ahadi inachukuliwa kwake kupitia Mitume wanaomjia.
Swali: Nini makusudio ya:
أَلَسْتُ بِرَبِّكُمْ ۖ قَالُوا بَلَىٰ ۛ شَهِدْنَا
“Je, Mimi siye Mola wenu?” Wakasema: “Ndio bila shaka, tumeshuhudia!”[1]?
Jibu: Hii ilikuwa katika migongo yao; ahadi haichukuliwi kutoka kwao isipokuwa baada ya kujiwa na Mitume.
[1] 07:172
Muhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: https://binbaz.org.sa/fatwas/31369/ما-الحكمة-من-اخذ-العهد-من-ظهور-بني-ادم
Imechapishwa: 23/10/2025
https://firqatunnajia.com/ahadi-ya-mwanadamu/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window) Telegram
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window) WhatsApp
- Click to print (Opens in new window) Print
- Click to email a link to a friend (Opens in new window) Email
- Click to share on Facebook (Opens in new window) Facebook
- Click to share on X (Opens in new window) X
- Click to share on Pocket (Opens in new window) Pocket
