Swali: Je, ni lazima kwa mtu anayekula daku kutema kilichomo mdomoni mwake muadhini anapoadhini au akimeze?
Jibu: Kuhusu kilichomo mdomoni mwake asikiteme. Lakini asichukue tonge lingine baada yake; isipokuwa maji. Abu Daawuud amepokea katika “as-Sunan” yake kupitia kwa Abu Hurayrah (Radhiya Allaahu ´anh) ambaye ameeleza kuwa Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) amesema:
“Akiadhini muadhini na chombo kiko mkononi mwa mmoja wenu, basi achukue kutoka humo haja yake.”
Kwa hivyo hapana vibaya akanywa akiadhini muadhini kwa sharti maji yawe tayari mkononi mwake.
- Mhusika: ´Allaamah Muqbil bin Haadiy al-Waadi´iy
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Fadhwaaih wa Naswaaih, uk. 76
- Imechapishwa: 15/03/2024
Swali: Je, ni lazima kwa mtu anayekula daku kutema kilichomo mdomoni mwake muadhini anapoadhini au akimeze?
Jibu: Kuhusu kilichomo mdomoni mwake asikiteme. Lakini asichukue tonge lingine baada yake; isipokuwa maji. Abu Daawuud amepokea katika “as-Sunan” yake kupitia kwa Abu Hurayrah (Radhiya Allaahu ´anh) ambaye ameeleza kuwa Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) amesema:
“Akiadhini muadhini na chombo kiko mkononi mwa mmoja wenu, basi achukue kutoka humo haja yake.”
Kwa hivyo hapana vibaya akanywa akiadhini muadhini kwa sharti maji yawe tayari mkononi mwake.
Mhusika: ´Allaamah Muqbil bin Haadiy al-Waadi´iy
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: Fadhwaaih wa Naswaaih, uk. 76
Imechapishwa: 15/03/2024
https://firqatunnajia.com/adhaana-ya-fajr-wakati-tonge-lipo-mdomoni-mwa-mfungaji/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)