Swali: Adhaana ni lazima kwa anayeswali peke yake au pamoja na mkewe?
Jibu: Akiwa yuko katika mji adhaana ya msikitini inatosheleza. Na kama mtu yuko nchi kavu ni jambo limependekezwa.
Swali: Watu wanatakiwa kuwa wangapi ili ihesabike kuwa ni mkusanyiko?
Jibu: Chini chini wawe wawili. Hadiyth inasema:
“Chini chini watu wawili ndio mkusanyiko.”[1]
[1] Dhaifu sana kwa mujibu wa an-Nawawiy katika ”al-Khulaaswah” (2/674), dhaifu kwa mujibu wa Ibn-ul-Mulaqqin katika ”Ghaayat-ul-Ma’muul” (56) na ni dhaifu kwa mujibu wa al-Albaaniy katika ”Iswlaah-ul-Masaadjid”, uk. 51.
- Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Sharh Tafsiyr-ish-Shaykh Muhammad bin ´Abdil-Wahhaab (27) http://www.alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/tafsir-ayat-10-08-1435-01.mp3
- Imechapishwa: 21/06/2020
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window) Telegram
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window) WhatsApp
- Click to print (Opens in new window) Print
- Click to email a link to a friend (Opens in new window) Email
- Click to share on Facebook (Opens in new window) Facebook
- Click to share on X (Opens in new window) X
- Click to share on Pocket (Opens in new window) Pocket