Swali: Kuna kitabu cha Shaykh Ahmad bin Yahyaa an-Najmiy na cha Shaykh Zayd al-Madkhaliy. Kitabu cha Shaykh Zayd kinaitwa “al-Irhaab” na cha Shaykh Ahmad an-Najmiy kinaitwa “al-Mawrid al-´Adhb”. Humo mmetajwa majina ya baadhi ya walinganizi wa leo kama mfano wa Muhammad al-´Ariyfiy, ´Aa´idh al-Qarniy, Salmaan al-´Awdah na Naaswir al-´Umar. Nimetawanya kitabu hiki na nimeona kuwa umekisifu. Pamoja na hivyo kuna baadhi ya ndugu waliokemea na kusema kwamba wewe hukutahadharisha watu hawa
Jibu: Achana nao. Achana nao. Kitabu hichi kimechapishwa, kimeenezwa na kutawanywa. Achana nao.
- Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: https://www.youtube.com/watch?v=zbMGFE63Ge0
- Imechapishwa: 23/07/2020
Swali: Kuna kitabu cha Shaykh Ahmad bin Yahyaa an-Najmiy na cha Shaykh Zayd al-Madkhaliy. Kitabu cha Shaykh Zayd kinaitwa “al-Irhaab” na cha Shaykh Ahmad an-Najmiy kinaitwa “al-Mawrid al-´Adhb”. Humo mmetajwa majina ya baadhi ya walinganizi wa leo kama mfano wa Muhammad al-´Ariyfiy, ´Aa´idh al-Qarniy, Salmaan al-´Awdah na Naaswir al-´Umar. Nimetawanya kitabu hiki na nimeona kuwa umekisifu. Pamoja na hivyo kuna baadhi ya ndugu waliokemea na kusema kwamba wewe hukutahadharisha watu hawa
Jibu: Achana nao. Achana nao. Kitabu hichi kimechapishwa, kimeenezwa na kutawanywa. Achana nao.
Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: https://www.youtube.com/watch?v=zbMGFE63Ge0
Imechapishwa: 23/07/2020
https://firqatunnajia.com/achana-na-hizbiyyuun/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)