Muulizaji: Nina kitabu cha Shaykh Ahmad an-Najmiy (Rahimahu Allaah) na cha Shaykh Zayd al-Madkhaliy (Rahimahu Allaah), vitabu ni “al-Irhaab” na “al-Mawrid al-´Adhb az-Zulaal”. Humo wanatahadharishwa wanachuoni kama Salmaan al-´Awdah, Naaswir al-´Umar, ´Aaidh al-Qarniy, Yuusuf al-Qaradhwaawiy na Muhammad al-´Ariyfiy. Nimevisoma vitabu hivi na kuona kuwa vimesifiwa na Shaykh Swaalih al-Fawzaan (Hafidhwahu Allaah). Nimeshangazwa sana…
al-Luhaydaan: Kwa nini umeshangazwa?
Swali: Je, ni sahihi kuwa Shaykh Swaalih al-Fawzaan na Shaykh Ahmad an-Najmiy wanatahadharisha juu ya Salmaan al-´Awdah na wengineo?
al-Luhaydaan: Hivyo ndivyo ulivyosoma?
Muulizaji: Ndio, hivyo ndivyo nilivyosoma. Ni matahadharisho kwao.
al-Luhaydaan: Wako katika haki – Allaah akitaka.
Muulizaji: Ni sahihi kutahadharisha juu yao?
al-Luhaydaan: Hii ina maana kwamba usiwapupie.
- Mhusika: ´Allaamah Swaalih bin Muhammad al-Luhaydaan
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: http://www.sahab.net/forums/index.php?showtopic=157277
- Imechapishwa: 23/07/2020
Muulizaji: Nina kitabu cha Shaykh Ahmad an-Najmiy (Rahimahu Allaah) na cha Shaykh Zayd al-Madkhaliy (Rahimahu Allaah), vitabu ni “al-Irhaab” na “al-Mawrid al-´Adhb az-Zulaal”. Humo wanatahadharishwa wanachuoni kama Salmaan al-´Awdah, Naaswir al-´Umar, ´Aaidh al-Qarniy, Yuusuf al-Qaradhwaawiy na Muhammad al-´Ariyfiy. Nimevisoma vitabu hivi na kuona kuwa vimesifiwa na Shaykh Swaalih al-Fawzaan (Hafidhwahu Allaah). Nimeshangazwa sana…
al-Luhaydaan: Kwa nini umeshangazwa?
Swali: Je, ni sahihi kuwa Shaykh Swaalih al-Fawzaan na Shaykh Ahmad an-Najmiy wanatahadharisha juu ya Salmaan al-´Awdah na wengineo?
al-Luhaydaan: Hivyo ndivyo ulivyosoma?
Muulizaji: Ndio, hivyo ndivyo nilivyosoma. Ni matahadharisho kwao.
al-Luhaydaan: Wako katika haki – Allaah akitaka.
Muulizaji: Ni sahihi kutahadharisha juu yao?
al-Luhaydaan: Hii ina maana kwamba usiwapupie.
Mhusika: ´Allaamah Swaalih bin Muhammad al-Luhaydaan
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: http://www.sahab.net/forums/index.php?showtopic=157277
Imechapishwa: 23/07/2020
https://firqatunnajia.com/kwanini-umeshangazwa/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)