Swali: Ikiwa imamu amerukuu kisha mtu akataka kumaliza kusoma al-Faatihah, lakini imamu akainuka kabla ya yeye kumaliza kusoma al-Faatihah?
Jibu: Aikate na arukuu pamoja naye.
Swali: Lakini ikiwa imamu ameinuka kabla hajamaliza kuisoma?
Jibu: Ainame na amuwahi. Ni mwenye kupewa udhuru – Allaah akitaka. Arukuu na amuwahi.
- Muhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: https://binbaz.org.sa/fatwas/25227/ما-الحكم-اذا-ركع-الامام-واكمل-الماموم-قراءة-الفاتحة-فرفع-الامام
- Imechapishwa: 20/02/2025
Swali: Ikiwa imamu amerukuu kisha mtu akataka kumaliza kusoma al-Faatihah, lakini imamu akainuka kabla ya yeye kumaliza kusoma al-Faatihah?
Jibu: Aikate na arukuu pamoja naye.
Swali: Lakini ikiwa imamu ameinuka kabla hajamaliza kuisoma?
Jibu: Ainame na amuwahi. Ni mwenye kupewa udhuru – Allaah akitaka. Arukuu na amuwahi.
Muhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: https://binbaz.org.sa/fatwas/25227/ما-الحكم-اذا-ركع-الامام-واكمل-الماموم-قراءة-الفاتحة-فرفع-الامام
Imechapishwa: 20/02/2025
https://firqatunnajia.com/acha-kusoma-al-faatihah-na-mfuate-imamu/