Swali: Ikiwa mswaliji anaona kuwa nyama ya ngamia inachengua wudhuu´ lakini imamu haoni kuwa inachengua.
Jibu: Unaswali nyuma yake. Hili ni eneo la Ijtihaad. Lakini ukidhihirikiwa kufanya jambo linalochengua wudhuu´ kupitia sauti au harufu, licha ya hivo akaendelea kuwaswalisha watu, hapana. Lakini jambo ambalo linatokana na Ijtihaad, kama kumgusa mwanamke na kula nyama ya ngamia yeye akaona kuwa hakuchengui wudhuu´, kuswaliwe nyuma yake.
- Muhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: https://binbaz.org.sa/fatwas/25091/حكم-امامة-من-لا-يرى-نقض-الوضوء-باكل-لحم-الجزور
- Imechapishwa: 01/02/2025
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)