211-
أَسْتَوْدِعُكُمُ اللَّهَ الَّذِي لاَ تَضِيعُ وَدَائِعُهُ
”Nawaacha katika amana ya Allaah ambaye hakupotei amana Kwake.”[1]
[1] Ahmad (02/403) na Ibn Maajah (02/943). Tazama “Swahiyh Ibn Maajah” (02/133).
- Muhusika: Shaykh Sa´iyd bin ´Aliy bin Wahf al-Qahtwaaniy
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Huswn-ul-Muslim
- Imechapishwa: 04/05/2020