97 – Muhammad bin Abiy Bakr ametuhadithia vivyo hivyo: Muhammad bin Sawaa’ ametuhadithia: Juwaybir ametuhadithia, kutoka kwa adh-Dhwahhaak, aliyesema kuhusiana na Aayah:
هُوَ الَّذِي يُصَلِّي عَلَيْكُمْ وَمَلَائِكَتُهُ لِيُخْرِجَكُم مِّنَ الظُّلُمَاتِ إِلَى النُّورِ ۚ وَكَانَ بِالْمُؤْمِنِينَ رَحِيمًا
“Yeye ndiye anakusifuni na Malaika Wake wanamuomba akughufurieni na akurehemuni ili akutoeni kutoka katika viza kuingia katika nuru; Naye ni Mwenye kurehemu waumini.”[1]
”Allaah kumswalia ni msamaha Wake na Malaika kumswalia ni du´aa.”[2]
[1] 33:43
[2] Cheni ya wapokezi ni dhaifu sana kama iliotangulia.
- Muhusika: Imaam Ismaa´iyl bin Ishaaq al-Maalikiy
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Fadhwl-us-Swalaah ´alaan-Nabiy, uk. 83
- Imechapishwa: 14/02/2024
- Taaliki: Imaam Muhammad Naaswir-ud-Diyn al-Albaaniy
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window) Telegram
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window) WhatsApp
- Click to print (Opens in new window) Print
- Click to email a link to a friend (Opens in new window) Email
- Click to share on Facebook (Opens in new window) Facebook
- Click to share on X (Opens in new window) X
- Click to share on Pocket (Opens in new window) Pocket