97 – Muhammad bin Abiy Bakr ametuhadithia vivyo hivyo: Muhammad bin Sawaa’ ametuhadithia: Juwaybir ametuhadithia, kutoka kwa adh-Dhwahhaak, aliyesema kuhusiana na Aayah:
هُوَ الَّذِي يُصَلِّي عَلَيْكُمْ وَمَلَائِكَتُهُ لِيُخْرِجَكُم مِّنَ الظُّلُمَاتِ إِلَى النُّورِ ۚ وَكَانَ بِالْمُؤْمِنِينَ رَحِيمًا
“Yeye ndiye anakusifuni na Malaika Wake wanamuomba akughufurieni na akurehemuni ili akutoeni kutoka katika viza kuingia katika nuru; Naye ni Mwenye kurehemu waumini.”[1]
”Allaah kumswalia ni msamaha Wake na Malaika kumswalia ni du´aa.”[2]
[1] 33:43
[2] Cheni ya wapokezi ni dhaifu sana kama iliotangulia.
- Mhusika: Imaam Ismaa´iyl bin Ishaaq al-Maalikiy
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Fadhwl-us-Swalaah ´alaan-Nabiy, uk. 83
- Imechapishwa: 14/02/2024
- taaliki: Imaam Muhammad Naaswir-ud-Diyn al-Albaaniy
97 – Muhammad bin Abiy Bakr ametuhadithia vivyo hivyo: Muhammad bin Sawaa’ ametuhadithia: Juwaybir ametuhadithia, kutoka kwa adh-Dhwahhaak, aliyesema kuhusiana na Aayah:
هُوَ الَّذِي يُصَلِّي عَلَيْكُمْ وَمَلَائِكَتُهُ لِيُخْرِجَكُم مِّنَ الظُّلُمَاتِ إِلَى النُّورِ ۚ وَكَانَ بِالْمُؤْمِنِينَ رَحِيمًا
“Yeye ndiye anakusifuni na Malaika Wake wanamuomba akughufurieni na akurehemuni ili akutoeni kutoka katika viza kuingia katika nuru; Naye ni Mwenye kurehemu waumini.”[1]
”Allaah kumswalia ni msamaha Wake na Malaika kumswalia ni du´aa.”[2]
[1] 33:43
[2] Cheni ya wapokezi ni dhaifu sana kama iliotangulia.
Mhusika: Imaam Ismaa´iyl bin Ishaaq al-Maalikiy
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: Fadhwl-us-Swalaah ´alaan-Nabiy, uk. 83
Imechapishwa: 14/02/2024
taaliki: Imaam Muhammad Naaswir-ud-Diyn al-Albaaniy
https://firqatunnajia.com/96-athar-allaah-kumswalia-ni-msamaha-wake/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)