92 – ´Abdullaah bin ´Amr amesema:
”´Arshi imezungukwa na nyoka na wahy huteremka katika minyororo.”[1]
[1] Cheni yake ya wapokezi ni nzuri. Haafidhw Ibn Hajar ameashiria Athar hii katika ”al-Iswaabah” wakati alipokuwa anataja wasifu wa al-Bikaaliy na akasema:
”Tumeisimulia katika ”al-Bishraaniyyaat”.”
Cheni yake ya wapokezi ni Swahiyh. Ameipokea Abush-Shaykh katika “al-´Adhwamah”: Muhammad bin al-´Abbaas ametuhadithia: Muhammad bin al-Muthannaa ametuhadithia: Mu´aadh bin Hishaam ametuhadithia: Baba yangu amenihadithia, kutoka kwa Qataadah, kutoka kwa Kathiyr bin Abiy Kathiyr, kutoka kwa Abu ´Iyaadhw, kutoka kwa ´Abdullaah bin ´Amr bin al-´Aasw. Abu ´Iyaadhw alikuwa akiitwa ´Amr bin al-Aswad. Kisha nikaipata katika ”as-Sunnah”, uk. 150: Baba yangu amenihadithia: Mu´aadh bin Hishaam ametuhadithia…
- Muhusika: Imaam Shams-ud-Diyn Muhammad bin Ahmad adh-Dhahabiy
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: al-´Uluww lil-´Aliy al-Ghaffaar, uk. 111
- Imechapishwa: 12/07/2024
- Taaliki: Imaam Muhammad Naaswir-ud-Diyn al-Albaaniy
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window) Telegram
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window) WhatsApp
- Click to print (Opens in new window) Print
- Click to email a link to a friend (Opens in new window) Email
- Click to share on Facebook (Opens in new window) Facebook
- Click to share on X (Opens in new window) X
- Click to share on Pocket (Opens in new window) Pocket