93 – Ibn ´Abbaas amesema:
”Unapoteremka wahy, basi Malaika husikia sauti kama ya chuma.”[1]
[1] Wasimulizi wake ni wenye kuaminika. Ameipokea ad-Daarimiy, uk. 14, ´Abdullaah bin Ahmad, kupitia njia nyingine kutoka kwake. Wasimulizi wake ni madhubuti pia. Kwa hivyo imethibiti kutoka kwake. Abush-Shaykh amepokea mfano wake katika ”al-´Adhwamah” (1/28) kupitia njia nyingine, kutoka kwa Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam).
- Muhusika: Imaam Shams-ud-Diyn Muhammad bin Ahmad adh-Dhahabiy
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: al-´Uluww lil-´Aliy al-Ghaffaar, uk. 111
- Imechapishwa: 12/07/2024
- Taaliki: Imaam Muhammad Naaswir-ud-Diyn al-Albaaniy
93 – Ibn ´Abbaas amesema:
”Unapoteremka wahy, basi Malaika husikia sauti kama ya chuma.”[1]
[1] Wasimulizi wake ni wenye kuaminika. Ameipokea ad-Daarimiy, uk. 14, ´Abdullaah bin Ahmad, kupitia njia nyingine kutoka kwake. Wasimulizi wake ni madhubuti pia. Kwa hivyo imethibiti kutoka kwake. Abush-Shaykh amepokea mfano wake katika ”al-´Adhwamah” (1/28) kupitia njia nyingine, kutoka kwa Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam).
Muhusika: Imaam Shams-ud-Diyn Muhammad bin Ahmad adh-Dhahabiy
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: al-´Uluww lil-´Aliy al-Ghaffaar, uk. 111
Imechapishwa: 12/07/2024
Taaliki: Imaam Muhammad Naaswir-ud-Diyn al-Albaaniy
https://firqatunnajia.com/96-sauti-ya-wahy/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)