Miongoni mwa sifa za kipekee za masiku haya kumi ni kwamba ndani yake kuna usiku wa makadirio ambao ni bora kuliko miezi elfu. Tambueni – Allaah akurehemuni – fadhilah za kumi hili na wala mzisipoteze. Wakati wake ni wenye thamani na kheri zake ni zenye kudhihiri na zenye kuonekana.
- Muhusika: Imaam Muhammad bin Swaalih bin ´Uthaymiyn
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Majaalis Shahr Ramadhwaan, uk. 158
- Imechapishwa: 14/03/2024
Miongoni mwa sifa za kipekee za masiku haya kumi ni kwamba ndani yake kuna usiku wa makadirio ambao ni bora kuliko miezi elfu. Tambueni – Allaah akurehemuni – fadhilah za kumi hili na wala mzisipoteze. Wakati wake ni wenye thamani na kheri zake ni zenye kudhihiri na zenye kuonekana.
Muhusika: Imaam Muhammad bin Swaalih bin ´Uthaymiyn
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: Majaalis Shahr Ramadhwaan, uk. 158
Imechapishwa: 14/03/2024
https://firqatunnajia.com/88-usiku-ambao-ni-bora-kuliko-miezi-elfu/