80 – Yahyaa bin ´Abdil-Hamiyd ametuhadithia: Sayf bin ´Umar at-Tamiymiy ametuhadithia, kutoka kwa Sulaymaan al-´Absiy, kutoka kwa ´Aliy bin Husayn: ´Aliy bin Abiy Twaalib (Radhiya Allaahu ´anh) amesema:
”Mnapopita katika misikiti, basi mswalieni Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam).”[1]
[1] Cheni ya wapokezi ni dhaifu mno. Abu Haatim na ad-Daaraqutwniy wamesema kuwa Sayf bin ´Umar at-Tamiymiy ni mwenye kuachwa. Yahyaa bin ´Abdil-Hamiyd al-Himaaniy ametuhumiwa kuziiba Hadiyth. Abu ´Abdillaah Sulaymaan bin Abiyl-Mughiyrah al-´Absiy al-Kuufiy alikuwa mwaminifu. Aidha kunatosheleza kutokamana na Athar hii Hadiyth aliyoipokea Abu Humayd, au Abu Usayd, kutoka kwa Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam), ambaye amesema:
”Atakapokuja mmoja wenu msikitini, basi amsalimie Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) na aseme:
اللهُمَّ افْتَحْ لِي أَبْوَابَ رَحْمَتِكَ
”Ee Allaah! Nifungulie milango ya rehema Zako.”
Na wakati mmoja wenu atakapotoka amsalimie Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) na aseme:
اللَّهُمَّ إِنِّي أَسْأَلُكَ مِنْ فَضْلِكَ
”Ee Allaah! Hakika mimi nakuomba kutokana na fadhilah Zako.”
Ameipokea Abu ´Awaanah (1/414) na Abu Daawuud (465). Ibn Khuzaymah na Ibn Hibbaan wameipokea katika ”as-Swahiyh” zao kupitia kwa Abu Hurayrah, kutoka kwa Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam). Zipo Hadiyth nyenginezo mfano wake ambazo zitakuja huko mbele kwenye kitabu.
- Mhusika: Imaam Ismaa´iyl bin Ishaaq al-Maalikiy
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Fadhwl-us-Swalaah ´alaan-Nabiy, uk. 72-73
- Imechapishwa: 06/02/2024
- taaliki: Imaam Muhammad Naaswir-ud-Diyn al-Albaaniy
80 – Yahyaa bin ´Abdil-Hamiyd ametuhadithia: Sayf bin ´Umar at-Tamiymiy ametuhadithia, kutoka kwa Sulaymaan al-´Absiy, kutoka kwa ´Aliy bin Husayn: ´Aliy bin Abiy Twaalib (Radhiya Allaahu ´anh) amesema:
”Mnapopita katika misikiti, basi mswalieni Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam).”[1]
[1] Cheni ya wapokezi ni dhaifu mno. Abu Haatim na ad-Daaraqutwniy wamesema kuwa Sayf bin ´Umar at-Tamiymiy ni mwenye kuachwa. Yahyaa bin ´Abdil-Hamiyd al-Himaaniy ametuhumiwa kuziiba Hadiyth. Abu ´Abdillaah Sulaymaan bin Abiyl-Mughiyrah al-´Absiy al-Kuufiy alikuwa mwaminifu. Aidha kunatosheleza kutokamana na Athar hii Hadiyth aliyoipokea Abu Humayd, au Abu Usayd, kutoka kwa Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam), ambaye amesema:
”Atakapokuja mmoja wenu msikitini, basi amsalimie Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) na aseme:
اللهُمَّ افْتَحْ لِي أَبْوَابَ رَحْمَتِكَ
”Ee Allaah! Nifungulie milango ya rehema Zako.”
Na wakati mmoja wenu atakapotoka amsalimie Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) na aseme:
اللَّهُمَّ إِنِّي أَسْأَلُكَ مِنْ فَضْلِكَ
”Ee Allaah! Hakika mimi nakuomba kutokana na fadhilah Zako.”
Ameipokea Abu ´Awaanah (1/414) na Abu Daawuud (465). Ibn Khuzaymah na Ibn Hibbaan wameipokea katika ”as-Swahiyh” zao kupitia kwa Abu Hurayrah, kutoka kwa Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam). Zipo Hadiyth nyenginezo mfano wake ambazo zitakuja huko mbele kwenye kitabu.
Mhusika: Imaam Ismaa´iyl bin Ishaaq al-Maalikiy
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: Fadhwl-us-Swalaah ´alaan-Nabiy, uk. 72-73
Imechapishwa: 06/02/2024
taaliki: Imaam Muhammad Naaswir-ud-Diyn al-Albaaniy
https://firqatunnajia.com/80-athar-mbapopita-katika-misikiti/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)