3- Kufanya Twawaaf katika Ka´bah. Ni haramu kwake na si sahihi kufanya Twawaaf ya faradhi na ya sunnah katika Ka´bah. Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) amesema kumwambia ´Aaishah (Radhiya Allaahu ´anhaa) alipopata hedhi:
“Fanya yale [yote] anayofanya mwenye kuhiji isipokuwa kutufu kwenye Nyumba mpaka utwaharike.”[1]
Hata hivyo anapata kufanya mambo mengine yote ya Hajj na ´Umrah kama Sa´y baina ya Swafaa na Marwah, kusimama ´Arafah, kulala Muzdalifah na Minaa na kurusha vijiwe. Kutokana na hili mwanamke akipata hedhi baada tu ya Twawaaf au wakati wa Sa´y hakuna tatizo.
[1] Muslim (1211).
- Muhusika: Imaam Muhammad bin Swaalih bin ´Uthaymiyn
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: ad-Dimaa’ at-Twabiy´iyyah lin-Nisaa’ http://www.ibnothaimeen.com/all/books/article
- Imechapishwa: 30/10/2016
3- Kufanya Twawaaf katika Ka´bah. Ni haramu kwake na si sahihi kufanya Twawaaf ya faradhi na ya sunnah katika Ka´bah. Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) amesema kumwambia ´Aaishah (Radhiya Allaahu ´anhaa) alipopata hedhi:
“Fanya yale [yote] anayofanya mwenye kuhiji isipokuwa kutufu kwenye Nyumba mpaka utwaharike.”[1]
Hata hivyo anapata kufanya mambo mengine yote ya Hajj na ´Umrah kama Sa´y baina ya Swafaa na Marwah, kusimama ´Arafah, kulala Muzdalifah na Minaa na kurusha vijiwe. Kutokana na hili mwanamke akipata hedhi baada tu ya Twawaaf au wakati wa Sa´y hakuna tatizo.
[1] Muslim (1211).
Muhusika: Imaam Muhammad bin Swaalih bin ´Uthaymiyn
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: ad-Dimaa’ at-Twabiy´iyyah lin-Nisaa’ http://www.ibnothaimeen.com/all/books/article
Imechapishwa: 30/10/2016
https://firqatunnajia.com/8-hukumu-ya-tatu-mafungamano-ya-hedhi-na-kutufu-kwenye-kabah/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)