Muumini atapokea daftari lake kwa mkono wake wa kuume ambapo atafurahi na kusema:

هَاؤُمُ اقْرَءُوا كِتَابِيَهْ

“Hebu chukueni someni kitabu changu.”[1]

Kafiri atakipokea kwa mkono wake wa kushoto au nyuma ya mgongo wake ambapo ataita maangamivu na kusema:

يَا لَيْتَنِي لَمْ أُوتَ كِتَابِيَهْ وَلَمْ أَدْرِ مَا حِسَابِيَهْ

“Ee! Laiti nisingepewa kitabu changu na wala nisingelijua hesabu yangu!”[2]

[1] 69:19

[2] 69:25-26

  • Mhusika: Imaam Muhammad bin Swaalih bin ´Uthaymiyn
  • Mfasiri: Firqatunnajia.com
  • Marejeo: Ta´aliyq mukhtaswar ´alaa Lum´at-il-I´tiqaad, uk. 123
  • Imechapishwa: 30/11/2022