6 – Swafiyyah bint Shaybah amesema:
”Nilimuona ´Aaishah akitufu Nyumba hali ya kuwa na Niqaab.”[1]
[1] Ibn Sa´d (8/49) na ´Abdur-Razzaaq katika ”al-Muswannaf” (5/24-25) kupitia kwa Ibn Jurayj, kutoka kwa al-Hasan bin Muslim, kutoka kwa Swafiyyah. Wapokezi wake ni wenye kuaminika isipokuwa Ibn Jurayj ambaye ni mudallis, katika hali hii haweki wazi amesikia kutoka kwa nani.
- Mhusika: Imaam Muhammad Naaswir-ud-Diyn al-Albaaniy
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Jilbaab-ul-Mar-ah al-Muslimah, uk. 108
- Imechapishwa: 08/10/2023
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)