Miongoni mwa adabu za funga ni mfungaji ahudhurishe hadhi ya neema ya Allaah juu yake kwa kufunga kwa vile amemuwafikisha na akamfanyia wepesi mpaka akatimiza siku yake na akakamilisha mwezi wake. Watu wengi hunyimwa kufunga ima kwa kufariki kwao kabla ya yenyewe kufika, kushindwa kwao, upotofu wao na kuipuuza kwao kuitekeleza. Hivyo mfungaji amshukuru Mola Wake juu ya neema ya funga ambayo ni sababu ya kusamehewa kwa madhambi, kufuta makosa na kupandishwa daraja katika Nyumba ya neema tele jirani ya Mola mkarimu.
- Mhusika: Imaam Muhammad bin Swaalih bin ´Uthaymiyn
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Majaalis Shahr Ramadhwaan, uk. 79
- Imechapishwa: 27/04/2021
Miongoni mwa adabu za funga ni mfungaji ahudhurishe hadhi ya neema ya Allaah juu yake kwa kufunga kwa vile amemuwafikisha na akamfanyia wepesi mpaka akatimiza siku yake na akakamilisha mwezi wake. Watu wengi hunyimwa kufunga ima kwa kufariki kwao kabla ya yenyewe kufika, kushindwa kwao, upotofu wao na kuipuuza kwao kuitekeleza. Hivyo mfungaji amshukuru Mola Wake juu ya neema ya funga ambayo ni sababu ya kusamehewa kwa madhambi, kufuta makosa na kupandishwa daraja katika Nyumba ya neema tele jirani ya Mola mkarimu.
Mhusika: Imaam Muhammad bin Swaalih bin ´Uthaymiyn
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: Majaalis Shahr Ramadhwaan, uk. 79
Imechapishwa: 27/04/2021
https://firqatunnajia.com/64-adabu-ya-nne-iliyopendekezwa-kumshukuru-allaah-kwa-neema-ya-kufunga/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)