Shaykh-ul-Islaam Muhammad bin ´Abdil-Wahhaab (Rahimahu Allaah) amesema:
Akisema: “Shirki ni kuabudu masanamu, na sisi hatuabudu masanamu” Mwambie: “Na nini maana ya kuabudu masanamu? Unafikiria ya kwamba walikuwa wanaamini kuwa miti ile na mawe yale yanaumba, yanaruzuku na yanaendesha mambo kwa yule anayeviomba? Hili ni dai linalokadhibishwa na Qur-aan!”
MAELEZO
Mshirikina akisema kuwa shirki maana yake ni kuabudia masanamu, na wao hawayaabudii masanamu, ataulizwa maswali mawili:
1 – Nini maana ya kuabudia masanamu? Unafikiri kuwa waliokuwa wakiyaabudu walikuwa wakiamini kuwa yanaumba, yanaruzuku na yanamuendeshea mambo yule anayeyaomba? Haya ni madai yanayokadhibishwa na Qur-aan.
- Muhusika: Imaam Muhammad bin Swaalih bin ´Uthaymiyn
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Sharh Kashf-ish-Shubuhaat, uk. 73
- Imechapishwa: 25/11/2023
Shaykh-ul-Islaam Muhammad bin ´Abdil-Wahhaab (Rahimahu Allaah) amesema:
Akisema: “Shirki ni kuabudu masanamu, na sisi hatuabudu masanamu” Mwambie: “Na nini maana ya kuabudu masanamu? Unafikiria ya kwamba walikuwa wanaamini kuwa miti ile na mawe yale yanaumba, yanaruzuku na yanaendesha mambo kwa yule anayeviomba? Hili ni dai linalokadhibishwa na Qur-aan!”
MAELEZO
Mshirikina akisema kuwa shirki maana yake ni kuabudia masanamu, na wao hawayaabudii masanamu, ataulizwa maswali mawili:
1 – Nini maana ya kuabudia masanamu? Unafikiri kuwa waliokuwa wakiyaabudu walikuwa wakiamini kuwa yanaumba, yanaruzuku na yanamuendeshea mambo yule anayeyaomba? Haya ni madai yanayokadhibishwa na Qur-aan.
Muhusika: Imaam Muhammad bin Swaalih bin ´Uthaymiyn
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: Sharh Kashf-ish-Shubuhaat, uk. 73
Imechapishwa: 25/11/2023
https://firqatunnajia.com/60-mlango-wa-10-hakuna-anayeamini-kuwa-masanamu-yanaumba/