Swali 57: Kama inavotambulika mswaliji akiwa mmoja basi anasimama kuliani mwa imamu. Je, imesuniwa kwake kusogea nyuma kidogo kama tunavoona baadhi wakifanya?
Jibu: Kilichowekwa katika Shari´ah kwa mswaliji akiwa peke yake asimame upande wa kuliani mwa imamu hali ya kulingana naye. Hakuna katika dalili za ki-Shari´ah yanayofahamisha kinyume chake.
- Muhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Fataawaa Muhimmah, uk. 60-61
- Imechapishwa: 07/09/2022
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window) Telegram
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window) WhatsApp
- Click to print (Opens in new window) Print
- Click to email a link to a friend (Opens in new window) Email
- Click to share on Facebook (Opens in new window) Facebook
- Click to share on X (Opens in new window) X
- Click to share on Pocket (Opens in new window) Pocket