Jengine ni kwamba ´ibaadah hii imegawanyika katika ´ibaadah ya kimwili na ´ibaadah ya kimali.
´Ibaadah za kimwili ni zile aina tatu tulizotaja. ´Ibaadah hii inakuwa kupitia mdomo, viungo vya mwili na moyoni.
´Ibaadah za kimali. Kama mfano wa kutoa zakaah na mtu kujitolea katika njia ya Allaah ambayo ni jihaad. Allaah (Ta´ala) amesema:
وَجَحَدُوا بِهَا وَاسْتَيْقَنَتْهَا أَنفُسُهُمْ
“Wakazipinga kwa dhuluma na majivuno na hali kuwa nafsi zao. “[1]
Amezitanguliza mali juu ya nafsi. Kupambana jihaad kwa mali ni ´ibaadah ya kimali.
Hajj ndani yake kuna ´ibaadah ya kimwili na ´ibaadah ya kimali. Kutekeleza zile taratibu za hajj, Twawaaf, Sa´y, kurusha vijiwe kwenye viguzo, kusimama ´Arafah na kulala Muzdalifah ni ´ibaadah za kimwili. Ama kujitolea kwa ajili yake ni ´ibaadah ya kimali. Kwa sababu hajj inahitajia mtu kujitolea.
[1] 27:14
- Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Sharh Thalaathat-il-Usuwl, uk. 124
- Imechapishwa: 23/12/2020
Jengine ni kwamba ´ibaadah hii imegawanyika katika ´ibaadah ya kimwili na ´ibaadah ya kimali.
´Ibaadah za kimwili ni zile aina tatu tulizotaja. ´Ibaadah hii inakuwa kupitia mdomo, viungo vya mwili na moyoni.
´Ibaadah za kimali. Kama mfano wa kutoa zakaah na mtu kujitolea katika njia ya Allaah ambayo ni jihaad. Allaah (Ta´ala) amesema:
وَجَحَدُوا بِهَا وَاسْتَيْقَنَتْهَا أَنفُسُهُمْ
“Wakazipinga kwa dhuluma na majivuno na hali kuwa nafsi zao. “[1]
Amezitanguliza mali juu ya nafsi. Kupambana jihaad kwa mali ni ´ibaadah ya kimali.
Hajj ndani yake kuna ´ibaadah ya kimwili na ´ibaadah ya kimali. Kutekeleza zile taratibu za hajj, Twawaaf, Sa´y, kurusha vijiwe kwenye viguzo, kusimama ´Arafah na kulala Muzdalifah ni ´ibaadah za kimwili. Ama kujitolea kwa ajili yake ni ´ibaadah ya kimali. Kwa sababu hajj inahitajia mtu kujitolea.
[1] 27:14
Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: Sharh Thalaathat-il-Usuwl, uk. 124
Imechapishwa: 23/12/2020
https://firqatunnajia.com/57-ibaadah-za-kimwili-na-ibaadah-za-kimali/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)