Swali: I´tikaaf ni kitu gani na ni zipi sharti zake?
Jibu: I´tikaaf ni kule kulazimiana na kubaki msikitini kwa lengo la kumtii Allaah. Sharti zake mtu abaki na awe msikitini. Asitoke isipokuwa kutokana na haja ambayo hakuna mwengine awezaye kuifanya isipokuwa yeye tu, kama vile kula, kunywa na kukidhi haja.
- Mhusika: ´Allaamah ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah Aalush-Shaykh
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Min Fataawaas-Swiyaam, uk. 45
- Imechapishwa: 02/04/2022
Swali: I´tikaaf ni kitu gani na ni zipi sharti zake?
Jibu: I´tikaaf ni kule kulazimiana na kubaki msikitini kwa lengo la kumtii Allaah. Sharti zake mtu abaki na awe msikitini. Asitoke isipokuwa kutokana na haja ambayo hakuna mwengine awezaye kuifanya isipokuwa yeye tu, kama vile kula, kunywa na kukidhi haja.
Mhusika: ´Allaamah ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah Aalush-Shaykh
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: Min Fataawaas-Swiyaam, uk. 45
Imechapishwa: 02/04/2022
https://firqatunnajia.com/56-itikaaf-ni-kitu-gani-na-ni-zipi-sharti-zake/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)