Swali: Ni majuzu mangapi ya Qur-aan mtu anaweza kusoma siku ya Ramadhaan?
Jibu: Soma kiasi unachoweza, lakini kwa kuzingatia na kuelewa maana. Kama alivosema Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam):
“Yule mwenye kusoma Qur-aan basi anapata kwa kila herufi mema kumi. Sisemi kuwa Alif, Laam na Miym ni herufi moja. Lakini Alif ni herufi moja, Laam ni herufi moja na Miym ni herufi moja.”[1]
[1] at-Tirmidhiy na al-Haakim kwa cheni ya wapokezi Swahiyh. Kadhalika ameipokea al-Aajurriy katika ”Aadaab Hamalat-il-Qur-aan”. Imetajwa katika ”as-Swahiyhah” (569).
- Mhusika: ´Allaamah ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah Aalush-Shaykh
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Min Fataawaas-Swiyaam, uk. 45
- Imechapishwa: 02/04/2022
Swali: Ni majuzu mangapi ya Qur-aan mtu anaweza kusoma siku ya Ramadhaan?
Jibu: Soma kiasi unachoweza, lakini kwa kuzingatia na kuelewa maana. Kama alivosema Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam):
“Yule mwenye kusoma Qur-aan basi anapata kwa kila herufi mema kumi. Sisemi kuwa Alif, Laam na Miym ni herufi moja. Lakini Alif ni herufi moja, Laam ni herufi moja na Miym ni herufi moja.”[1]
[1] at-Tirmidhiy na al-Haakim kwa cheni ya wapokezi Swahiyh. Kadhalika ameipokea al-Aajurriy katika ”Aadaab Hamalat-il-Qur-aan”. Imetajwa katika ”as-Swahiyhah” (569).
Mhusika: ´Allaamah ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah Aalush-Shaykh
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: Min Fataawaas-Swiyaam, uk. 45
Imechapishwa: 02/04/2022
https://firqatunnajia.com/55-kisomo-cha-kila-siku-ramadhaan/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)