Swali 50: Ndege itatupaisha kwa idhini ya Allaah kutoka Riyaadh katika Ramadhaan takriban saa moja kabla ya adhaana ya Maghrib na wataadhini kwa ajili ya Maghrib tukiwa kwenye anga ya Saudi Arabia. Je, tukate swawm? Tukiona jua ilihali tuko angani – kama inavokuwa mara nyingi – tuendelee kufunga na kukata swawm katika nchi yetu au tukate swawm kwa kule kusikia adhaana Saudi Arabia[1]?
Jibu: Ndege ikipaa kutoka Riyaadh kwa mfano kabla ya kuzama kwa jua upande wa magharibi, basi unaendelea kuwa mfungaji mpaka jua lizame ilihali uko angani au umeshashuka katika nchi ambayo jua limekwishazama. Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) amesema:
“Usiku ukija hapa [mashariki] na ukaondoka mchana hapa [magharibi] na likazama jua, basi amekwishafungua mfungaji.”[2]
[1] Majmuu´-ul-Fataawaa (15/322-323).
[2] al-Bukhaariy (1954) na Muslim (1100 na 1101).
- Mhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Ahkaam-ul-Musaafir, uk. 67
- Imechapishwa: 20/05/2022
Swali 50: Ndege itatupaisha kwa idhini ya Allaah kutoka Riyaadh katika Ramadhaan takriban saa moja kabla ya adhaana ya Maghrib na wataadhini kwa ajili ya Maghrib tukiwa kwenye anga ya Saudi Arabia. Je, tukate swawm? Tukiona jua ilihali tuko angani – kama inavokuwa mara nyingi – tuendelee kufunga na kukata swawm katika nchi yetu au tukate swawm kwa kule kusikia adhaana Saudi Arabia[1]?
Jibu: Ndege ikipaa kutoka Riyaadh kwa mfano kabla ya kuzama kwa jua upande wa magharibi, basi unaendelea kuwa mfungaji mpaka jua lizame ilihali uko angani au umeshashuka katika nchi ambayo jua limekwishazama. Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) amesema:
“Usiku ukija hapa [mashariki] na ukaondoka mchana hapa [magharibi] na likazama jua, basi amekwishafungua mfungaji.”[2]
[1] Majmuu´-ul-Fataawaa (15/322-323).
[2] al-Bukhaariy (1954) na Muslim (1100 na 1101).
Mhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: Ahkaam-ul-Musaafir, uk. 67
Imechapishwa: 20/05/2022
https://firqatunnajia.com/50-tukate-swawm-tukiwa-angani-ilihali-tunaona-jua-au-tusubiri-ndege-ituwe/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)