Tunasema “Majibu kwa watu wa batili ni katika njia mbili: kwa jumla na kwa kina.”
MAELEZO
Kwa jumla – Ni kanuni yenye kuenea katika kuwajibu watu wa batili kwa sampuli zao zote, katika kila zama na mahala.
Kwa kina – Hii ni ile Radd ya kila utata moja baada ya mwingine.
Ukijua kuraddi utata wa jumla na wa kina basi unakuwa na silaha unayoweza kuwacharagaza na kupambana na washirikina na watu wa batili.
- Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Sharh Kashf-ish-Shubuhaat, uk. 66
- Imechapishwa: 23/12/2016
Tunasema “Majibu kwa watu wa batili ni katika njia mbili: kwa jumla na kwa kina.”
MAELEZO
Kwa jumla – Ni kanuni yenye kuenea katika kuwajibu watu wa batili kwa sampuli zao zote, katika kila zama na mahala.
Kwa kina – Hii ni ile Radd ya kila utata moja baada ya mwingine.
Ukijua kuraddi utata wa jumla na wa kina basi unakuwa na silaha unayoweza kuwacharagaza na kupambana na washirikina na watu wa batili.
Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: Sharh Kashf-ish-Shubuhaat, uk. 66
Imechapishwa: 23/12/2016
https://firqatunnajia.com/48-namna-ya-kuweza-kuwacharagaza-washirikina-na-watu-wa-batili/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)