Swali 48: Ni ipi hukumu ya mtu ambaye mwanzoni mwa mwezi alifunga na Saudi Arabia kisha akasafiri katika nchi ambayo mwezi mwandamo wake ulichelewa nasi – je, afunge siku thelathini na moja[1]?
Jibu: Afunge pamoja nao na afungue pamoja nao ijapo masiku yake yatazidi. Hayo ni kutokana na Hadiyth iliyokwishatangulia:
“Fungeni siku wengine wanafunga, fungueni siku wengine wanafunga na chinjeni siku wengine wanachinja.”[2]
[1] Majmuu´-ul-Fataawaa (15/155).
[2] at-Tirmidhiy (697).
- Mhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Ahkaam-ul-Musaafir, uk. 65-66
- Imechapishwa: 18/05/2022
Swali 48: Ni ipi hukumu ya mtu ambaye mwanzoni mwa mwezi alifunga na Saudi Arabia kisha akasafiri katika nchi ambayo mwezi mwandamo wake ulichelewa nasi – je, afunge siku thelathini na moja[1]?
Jibu: Afunge pamoja nao na afungue pamoja nao ijapo masiku yake yatazidi. Hayo ni kutokana na Hadiyth iliyokwishatangulia:
“Fungeni siku wengine wanafunga, fungueni siku wengine wanafunga na chinjeni siku wengine wanachinja.”[2]
[1] Majmuu´-ul-Fataawaa (15/155).
[2] at-Tirmidhiy (697).
Mhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: Ahkaam-ul-Musaafir, uk. 65-66
Imechapishwa: 18/05/2022
https://firqatunnajia.com/48-funga-pamoja-na-wengine-ijapo-ni-siku-31/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)