Swali 47: Tumetambua kwamba kilichotangaa kwa wanazuoni ni kwamba kumswalia maiti baada ya kuzikwa kunakuwa takriban mpaka mwezi mmoja. Vipi basi Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) aliwaswalia Maswahabah kule Baqiy´ mwishoni mwa uhai wake na kuwaombea du´aa[1]?
Jibu: Kilicholengwa kwa neno “kuswalia” ni kuwaombea du´aa. Ni ile du´aa anayoombewa maiti.
[1] Majmuu´-ul-Fataawaa (13/154).
- Muhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Ahkaam-ul-Janaa-iz, uk. 37
- Imechapishwa: 23/12/2021
Swali 47: Tumetambua kwamba kilichotangaa kwa wanazuoni ni kwamba kumswalia maiti baada ya kuzikwa kunakuwa takriban mpaka mwezi mmoja. Vipi basi Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) aliwaswalia Maswahabah kule Baqiy´ mwishoni mwa uhai wake na kuwaombea du´aa[1]?
Jibu: Kilicholengwa kwa neno “kuswalia” ni kuwaombea du´aa. Ni ile du´aa anayoombewa maiti.
[1] Majmuu´-ul-Fataawaa (13/154).
Muhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: Ahkaam-ul-Janaa-iz, uk. 37
Imechapishwa: 23/12/2021
https://firqatunnajia.com/47-maiti-anaweza-kuswaliwa-baada-ya-kuzikwa-kwa-muda-wa-mwezi-mmoja/