Swali 46: Ni ipi hukumu ya kuswalia jeneza baada ya kuzikwa? Je, kumewekwa kikomo cha mwezi[1]?
Jibu: Hukumu ya kuswalia jeneza baada ya kuzikwa ni Sunnah. Kwa sababu Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) aliswalia baada ya kuzikwa. Ambaye hakuhudhuria wakati wa kuswaliwa atamswalia baada ya kuzikwa. Hata yule ambaye amemswalia hapana vibaya kurudi kumswalia tena pamoja na waswaliji. Hapana neno kufanya hivo hata kama atamswalia mara mbili au mara tatu pamoja na wale wenye kumswalia miongoni mwa wale watu waliopitwa kumswalia. Kikomo kilichotangamaa kwa wanazuoni ni takriban mpaka mwezi mmoja.
[1] Majmuu´-ul-Fataawaa (13/153).
- Mhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Ahkaam-ul-Janaa-iz, uk. 36
- Imechapishwa: 23/12/2021
Swali 46: Ni ipi hukumu ya kuswalia jeneza baada ya kuzikwa? Je, kumewekwa kikomo cha mwezi[1]?
Jibu: Hukumu ya kuswalia jeneza baada ya kuzikwa ni Sunnah. Kwa sababu Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) aliswalia baada ya kuzikwa. Ambaye hakuhudhuria wakati wa kuswaliwa atamswalia baada ya kuzikwa. Hata yule ambaye amemswalia hapana vibaya kurudi kumswalia tena pamoja na waswaliji. Hapana neno kufanya hivo hata kama atamswalia mara mbili au mara tatu pamoja na wale wenye kumswalia miongoni mwa wale watu waliopitwa kumswalia. Kikomo kilichotangamaa kwa wanazuoni ni takriban mpaka mwezi mmoja.
[1] Majmuu´-ul-Fataawaa (13/153).
Mhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: Ahkaam-ul-Janaa-iz, uk. 36
Imechapishwa: 23/12/2021
https://firqatunnajia.com/46-ni-ipi-hukumu-ya-kuswalia-jeneza-baada-ya-kuzikwa/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)