Swali 47: Tumetambua kwamba kilichotangaa kwa wanazuoni ni kwamba kumswalia maiti baada ya kuzikwa kunakuwa takriban mpaka mwezi mmoja. Vipi basi Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) aliwaswalia Maswahabah kule Baqiy´ mwishoni mwa uhai wake na kuwaombea du´aa[1]?
Jibu: Kilicholengwa kwa neno “kuswalia” ni kuwaombea du´aa. Ni ile du´aa anayoombewa maiti.
[1] Majmuu´-ul-Fataawaa (13/154).
- Mhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Ahkaam-ul-Janaa-iz, uk. 37
- Imechapishwa: 23/12/2021
Swali 47: Tumetambua kwamba kilichotangaa kwa wanazuoni ni kwamba kumswalia maiti baada ya kuzikwa kunakuwa takriban mpaka mwezi mmoja. Vipi basi Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) aliwaswalia Maswahabah kule Baqiy´ mwishoni mwa uhai wake na kuwaombea du´aa[1]?
Jibu: Kilicholengwa kwa neno “kuswalia” ni kuwaombea du´aa. Ni ile du´aa anayoombewa maiti.
[1] Majmuu´-ul-Fataawaa (13/154).
Mhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: Ahkaam-ul-Janaa-iz, uk. 37
Imechapishwa: 23/12/2021
https://firqatunnajia.com/47-maiti-anaweza-kuswaliwa-baada-ya-kuzikwa-kwa-muda-wa-mwezi-mmoja/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)