Swali 45: Kwa sababu ya msongamano mkubwa katika baadhi ya misikiti inayoswali ijumaa inatokea msikiti kujaa na hivyo baadhi ya watu wakaswali barabarani na njiani wakimfuata imamu. Unasemaje juu ya hilo? Je, kuna tofauti ikiwa njia iko kati ya waswaliji na msikiti?
Jibu: Ikiwa safu zimeungana hakuna neno. Vivyo hivyo hakuna neno ikiwa maamuma walioko nje ya msikiti wanaziona safu mbele yao au wanasikia Takbiyr ijapo ikiwa baadhi ya njia zimewatenganisha. Hilo ni kutokana na ulazima wa kuswali misikitini na wawe wanaweza kuwaona au kuwasikia. Lakini haifai kwa yeyote kuswali mbele ya imamu. Kwa sababu hiyo sio sehemu ya kusimama maamuma.
- Mhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Fataawaa Muhimmah, uk. 52-53
- Imechapishwa: 30/08/2022
Swali 45: Kwa sababu ya msongamano mkubwa katika baadhi ya misikiti inayoswali ijumaa inatokea msikiti kujaa na hivyo baadhi ya watu wakaswali barabarani na njiani wakimfuata imamu. Unasemaje juu ya hilo? Je, kuna tofauti ikiwa njia iko kati ya waswaliji na msikiti?
Jibu: Ikiwa safu zimeungana hakuna neno. Vivyo hivyo hakuna neno ikiwa maamuma walioko nje ya msikiti wanaziona safu mbele yao au wanasikia Takbiyr ijapo ikiwa baadhi ya njia zimewatenganisha. Hilo ni kutokana na ulazima wa kuswali misikitini na wawe wanaweza kuwaona au kuwasikia. Lakini haifai kwa yeyote kuswali mbele ya imamu. Kwa sababu hiyo sio sehemu ya kusimama maamuma.
Mhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: Fataawaa Muhimmah, uk. 52-53
Imechapishwa: 30/08/2022
https://firqatunnajia.com/45-safu-zilizoko-nje-ya-msikiti-zinazotenganishwa-na-barabara/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)