Miongoni mwa mambo yanayoenda kinyume na Shari´ah ni demokrasia na uchaguzi. Ni mambo ambayo hayana mafungamano yoyote na Shari´ah. Kwa mujibu wa ufahamu watu hawa wenyewe, inaenda kinyume na Shari´ah. Uchaguzi anashiriki ndani yake watenda madhambi, wanawake, manaswara, mayahudi, wakomunisti na kadhalika. Ni dhambi kushirikiana na watu hawa… hatuna mambo kama hayo.
Uchaguzi unaokubalika katika Shari´ah ni wakusanyike Ahl-ul-Hall wal-´Aqd, wakiwemo wanazuoni waliobobea na watu wa ´ibaadah na matendo mema, na wawachague wale wanawaona kuwa wanastahiki. Hivo ndivo alivyofanya ´Umar (Radhiya Allaahu ´anh) aliteua watu wa mashauriano sita peke yao – watu sita hawa ndio ambao Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) amekufa akiwa radhi nao. Hivyo wakamchagua ´Uthmaan (Radhiya Allaahu ´anh). Uchaguzi kama huu ndio unaokubalika katika Shari´ah na kikanuni, na si kila mtu kuzungumza ni nani ambaye anatakiwa kuwaongoza waislamu. Haijuzu.
- Mhusika: ´Allaamah Muhammad bin ´Aliy bin Aadam al-Ithyuubiy
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: https://www.youtube.com/watch?app=desktop&v=V16FubR1VWQ
- Imechapishwa: 30/08/2022
Miongoni mwa mambo yanayoenda kinyume na Shari´ah ni demokrasia na uchaguzi. Ni mambo ambayo hayana mafungamano yoyote na Shari´ah. Kwa mujibu wa ufahamu watu hawa wenyewe, inaenda kinyume na Shari´ah. Uchaguzi anashiriki ndani yake watenda madhambi, wanawake, manaswara, mayahudi, wakomunisti na kadhalika. Ni dhambi kushirikiana na watu hawa… hatuna mambo kama hayo.
Uchaguzi unaokubalika katika Shari´ah ni wakusanyike Ahl-ul-Hall wal-´Aqd, wakiwemo wanazuoni waliobobea na watu wa ´ibaadah na matendo mema, na wawachague wale wanawaona kuwa wanastahiki. Hivo ndivo alivyofanya ´Umar (Radhiya Allaahu ´anh) aliteua watu wa mashauriano sita peke yao – watu sita hawa ndio ambao Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) amekufa akiwa radhi nao. Hivyo wakamchagua ´Uthmaan (Radhiya Allaahu ´anh). Uchaguzi kama huu ndio unaokubalika katika Shari´ah na kikanuni, na si kila mtu kuzungumza ni nani ambaye anatakiwa kuwaongoza waislamu. Haijuzu.
Mhusika: ´Allaamah Muhammad bin ´Aliy bin Aadam al-Ithyuubiy
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: https://www.youtube.com/watch?app=desktop&v=V16FubR1VWQ
Imechapishwa: 30/08/2022
https://firqatunnajia.com/tofauti-na-chaguzi-mbili/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)