Swali 45: Ni misafara ipi ya kijeshi ilifanyika mwaka huo?
Jibu: Katika mwaka huohuo mwanzoni mwa mwezi wa Rajab, ´Abdullaah bin Jahsh na Wahajiri wanane walianza safari ya kijeshi na wakamuua Ibn-ul-Hadhwramiy. Kukashushwa kuhusiana na tukio hilo:
يَسْأَلُونَكَ عَنِ الشَّهْرِ الْحَرَامِ قِتَالٍ فِيهِ
”Wanakuuliza kuhusu mwezi mtukufu na kupigana humo.”[1]
[1] 02:217
- Mhusika: ´Allaamah Haafidhw bin Ahmad al-Hakamiy
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Amaaliy fiys-Siyrah an-Nabawiyyah, uk. 110
- Imechapishwa: 11/10/2023
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)