Swali 45: Mwenye kuingia msikitini kwa ajili ya kuswalia jeneza na bado hajaswali faradhi – je, aanze kuswali faradhi au ajiunge nao kuswalia jeneza? Jeneza likinyanyuliwa aliswalie[1]?
Jibu: Aswali pamoja nao kuliswalia jeneza kisha aswali faradhi. Kwa sababu jeneza linampita na faradhi haitomlipa. Jeneza likishanyanyuliwa asiliswalie. Atachofanya ni kulisindikiza na ataliswalia baada ya kuzikwa au kwenye kaburi.
[1] Majmuu´-ul-Fataawaa (13/151).
- Muhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Ahkaam-ul-Janaa-iz, uk. 35-36
- Imechapishwa: 22/12/2021
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window) Telegram
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window) WhatsApp
- Click to print (Opens in new window) Print
- Click to email a link to a friend (Opens in new window) Email
- Click to share on Facebook (Opens in new window) Facebook
- Click to share on X (Opens in new window) X
- Click to share on Pocket (Opens in new window) Pocket