Swali 45: Mwenye kuingia msikitini kwa ajili ya kuswalia jeneza na bado hajaswali faradhi – je, aanze kuswali faradhi au ajiunge nao kuswalia jeneza? Jeneza likinyanyuliwa aliswalie[1]?
Jibu: Aswali pamoja nao kuliswalia jeneza kisha aswali faradhi. Kwa sababu jeneza linampita na faradhi haitomlipa. Jeneza likishanyanyuliwa asiliswalie. Atachofanya ni kulisindikiza na ataliswalia baada ya kuzikwa au kwenye kaburi.
[1] Majmuu´-ul-Fataawaa (13/151).
- Mhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Ahkaam-ul-Janaa-iz, uk. 35-36
- Imechapishwa: 22/12/2021
Swali 45: Mwenye kuingia msikitini kwa ajili ya kuswalia jeneza na bado hajaswali faradhi – je, aanze kuswali faradhi au ajiunge nao kuswalia jeneza? Jeneza likinyanyuliwa aliswalie[1]?
Jibu: Aswali pamoja nao kuliswalia jeneza kisha aswali faradhi. Kwa sababu jeneza linampita na faradhi haitomlipa. Jeneza likishanyanyuliwa asiliswalie. Atachofanya ni kulisindikiza na ataliswalia baada ya kuzikwa au kwenye kaburi.
[1] Majmuu´-ul-Fataawaa (13/151).
Mhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: Ahkaam-ul-Janaa-iz, uk. 35-36
Imechapishwa: 22/12/2021
https://firqatunnajia.com/45-kutangulizwe-kumswalia-maiti-au-swalah-ya-faradhi/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)