Imamu akitatizika na kusoma kimakosa, basi Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) amesunisha kwa waswaliji kumrekebisha. Wakati mmoja pindi (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) alikuwa anaswali ambapo kisomo kikamtatiza. Alipomaliza akamwambia Ubayy:
“Je, wewe umeswali pamoja na sisi?” Akasema: “Ndio.” Ndipo (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) akasema: “Kwa nini hukunisahihisha?”[1]
[1] Abu Daawuud, Ibn Hibbaan, at-Twabaraaniy, Ibn ´Asaakir (2/296/2) na adh-Dhwiyaa’ katika ”al-Mukhtaarah” kwa mlolongo wa wapokezi Swahiyh.
- Muhusika: Imaam Muhammad Naaswir-ud-Diyn al-Albaaniy
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Swifatu Swalaat-in-Nabiy, uk. 111
- Imechapishwa: 17/02/2017
Imamu akitatizika na kusoma kimakosa, basi Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) amesunisha kwa waswaliji kumrekebisha. Wakati mmoja pindi (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) alikuwa anaswali ambapo kisomo kikamtatiza. Alipomaliza akamwambia Ubayy:
“Je, wewe umeswali pamoja na sisi?” Akasema: “Ndio.” Ndipo (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) akasema: “Kwa nini hukunisahihisha?”[1]
[1] Abu Daawuud, Ibn Hibbaan, at-Twabaraaniy, Ibn ´Asaakir (2/296/2) na adh-Dhwiyaa’ katika ”al-Mukhtaarah” kwa mlolongo wa wapokezi Swahiyh.
Muhusika: Imaam Muhammad Naaswir-ud-Diyn al-Albaaniy
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: Swifatu Swalaat-in-Nabiy, uk. 111
Imechapishwa: 17/02/2017
https://firqatunnajia.com/44-imamu-anayetatizwa-au-kusoma-makosa-anatakiwa-kusahihishwa/