44 – Ibraahiym bin Hajjaaj ametuhadithia: Wuhayb ametuhadithia, kutoka kwa Ja´far bin Muhammad, kutoka kwa baba yake, ambaye ameeleza kuwa Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) amesema:
من ذكرت عنده فلم يصل (عليَّ) فقد خطئ طريق الجنة
”Ambaye nitatajwa mbele yake na asiniswalie, basi atapotea njia ya Peponi.”[1]
[1] Cheni ya wapokezi ni Swahiyh, lakini kuna Swahabah aliyekosekana. Hapa kuna ufuatiliaji wenye nguvu kabisa wa Sulaymaan bin Bilaal, kutoka kwa Wuhayb bin Khaalid al-Baahiliy al-Miswriy. Hadiyth ni Swahiyh kama tulivyotaja kuhusu cheni ya kwanza ya wapokezi (41).
- Muhusika: Imaam Ismaa´iyl bin Ishaaq al-Maalikiy
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Fadhwl-us-Swalaah ´alaan-Nabiy, uk. 48
- Imechapishwa: 17/01/2024
- Taaliki: Imaam Muhammad Naaswir-ud-Diyn al-Albaaniy
44 – Ibraahiym bin Hajjaaj ametuhadithia: Wuhayb ametuhadithia, kutoka kwa Ja´far bin Muhammad, kutoka kwa baba yake, ambaye ameeleza kuwa Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) amesema:
من ذكرت عنده فلم يصل (عليَّ) فقد خطئ طريق الجنة
”Ambaye nitatajwa mbele yake na asiniswalie, basi atapotea njia ya Peponi.”[1]
[1] Cheni ya wapokezi ni Swahiyh, lakini kuna Swahabah aliyekosekana. Hapa kuna ufuatiliaji wenye nguvu kabisa wa Sulaymaan bin Bilaal, kutoka kwa Wuhayb bin Khaalid al-Baahiliy al-Miswriy. Hadiyth ni Swahiyh kama tulivyotaja kuhusu cheni ya kwanza ya wapokezi (41).
Muhusika: Imaam Ismaa´iyl bin Ishaaq al-Maalikiy
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: Fadhwl-us-Swalaah ´alaan-Nabiy, uk. 48
Imechapishwa: 17/01/2024
Taaliki: Imaam Muhammad Naaswir-ud-Diyn al-Albaaniy
https://firqatunnajia.com/44-hadiyth-ambaye-nitatajwa-mbele-yake-na-asiniswalie/