Swali: Ni ipi hukumu wanawake kuhudhuria Tarawiyh? Ni ipi bora katika jambo hilo?
Jibu: Inafaa kwa sharti wakihudhuria wakijiepusha kujitia manukato na kutojipamba. Hata hivyo bora ni pale watakaposwali majumbani mwao.
- Mhusika: ´Allaamah ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah Aalush-Shaykh
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Min Fataawaas-Swiyaam, uk. 37
- Imechapishwa: 01/04/2022
Swali: Ni ipi hukumu wanawake kuhudhuria Tarawiyh? Ni ipi bora katika jambo hilo?
Jibu: Inafaa kwa sharti wakihudhuria wakijiepusha kujitia manukato na kutojipamba. Hata hivyo bora ni pale watakaposwali majumbani mwao.
Mhusika: ´Allaamah ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah Aalush-Shaykh
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: Min Fataawaas-Swiyaam, uk. 37
Imechapishwa: 01/04/2022
https://firqatunnajia.com/43-wanawake-kuswali-tarawiyh-msikitini/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)