Swali: Ni kwa nini imeitwa Tarawiyh? Ni upi msingi wa swalah hiyo?
Jibu: Inasemekana kwamba walikuwa wakipumzika (يرتاحون) baada ya kila Rak´ah mbili kutokana na urefu wa kusimama.
Msingi wake ni kwamba Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) aliwaswalisha watu katika zile nyusiku za mwanzo. Msikiti ukajaa waswaliji. Usiku wa tatu Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) hakutoka nje kwa kuchelea swalah hiyo isije kufaradhishwa kwao. Baada ya kufa kwake (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam), ndipo ´Umar (Radhiya Allaahu ´anh) akawakusanya nyuma ya imamu mmoja.
- Mhusika: ´Allaamah ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah Aalush-Shaykh
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Min Fataawaas-Swiyaam, uk. 36-37
- Imechapishwa: 01/04/2022
Swali: Ni kwa nini imeitwa Tarawiyh? Ni upi msingi wa swalah hiyo?
Jibu: Inasemekana kwamba walikuwa wakipumzika (يرتاحون) baada ya kila Rak´ah mbili kutokana na urefu wa kusimama.
Msingi wake ni kwamba Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) aliwaswalisha watu katika zile nyusiku za mwanzo. Msikiti ukajaa waswaliji. Usiku wa tatu Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) hakutoka nje kwa kuchelea swalah hiyo isije kufaradhishwa kwao. Baada ya kufa kwake (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam), ndipo ´Umar (Radhiya Allaahu ´anh) akawakusanya nyuma ya imamu mmoja.
Mhusika: ´Allaamah ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah Aalush-Shaykh
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: Min Fataawaas-Swiyaam, uk. 36-37
Imechapishwa: 01/04/2022
https://firqatunnajia.com/42-msingi-wa-tarawiyh/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)