Swali: Kama mtu amezowea kufunga jumatatu na alkhamisi na tarehe 29 Sha´baan ikaangukia siku mbili hizi, kuna neno kufunga siku hiyo?
Jibu: Hapana. Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) amesema:
“Msiitangulizie Ramadhaan kwa kufunga siku moja au mbili, isipokuwa mtu ambaye alikuwa akifunga swawm. Basi aiendeleze.”[1]
[1] al-Bukhaariy (1914) na Muslim (1082).
- Mhusika: ´Allaamah ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah Aalush-Shaykh
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Min Fataawaas-Swiyaam, uk. 36
- Imechapishwa: 01/04/2022
Swali: Kama mtu amezowea kufunga jumatatu na alkhamisi na tarehe 29 Sha´baan ikaangukia siku mbili hizi, kuna neno kufunga siku hiyo?
Jibu: Hapana. Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) amesema:
“Msiitangulizie Ramadhaan kwa kufunga siku moja au mbili, isipokuwa mtu ambaye alikuwa akifunga swawm. Basi aiendeleze.”[1]
[1] al-Bukhaariy (1914) na Muslim (1082).
Mhusika: ´Allaamah ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah Aalush-Shaykh
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: Min Fataawaas-Swiyaam, uk. 36
Imechapishwa: 01/04/2022
https://firqatunnajia.com/41-ikiwa-29-shaaan-itaangukia-jumatatu-au-alkhamisi/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)