Swali 43: Ni ´ibaadah zipi zilizowekwa katika Shari´ah katika mwaka wa pili?
Jibu: Mwaka huohuo, tarehe 15 Sha´baan, kuliwekwa Shari´ah ya kuielekea Ka´bah, jambo lililopingwa na mayahudi.
Mwaka huohuo kuliwekwa Shari´ah ya kufunga Ramadhaan. Kabla ya hapo yeye (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) alikuwa amefaradhisha ´Aashuuraa´.
Mwaka huohuo kulifaradhishwa Zakaat-ul-Fitwr, swalah ya ´Iyd na Zakaah ya mali ambayo mara nyingi imetajwa pamoja na swalah maeneo mengi ndani ya Qur-aan.
- Mhusika: ´Allaamah Haafidhw bin Ahmad al-Hakamiy
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Amaaliy fiys-Siyrah an-Nabawiyyah, uk. 108-109
- Imechapishwa: 09/10/2023
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)