Swali 43: Inafaa kwa muislamu akiwa ni msafiri safari ndefu akakusanya swalah mwishoni mwa siku[1]?
Jibu: Haya ni maovu makubwa. Hakuna mwanachuoni yeyote anayeonelea hivo. Mambo yalivo ni kwamba inafaa kwa msafiri kukusanya kati ya Dhuhr na ´Aswr peke yake katika wakati wa kimoja wapo kabla ya jua kuwa manjano, kati ya Maghrib na ´Ishaa katika wakati wa kimoja wapo kabla ya nusu usiku. Kuhusu Fajr haikusanywi na nyingine. Bali daima inaswaliwa ndani ya wakati wake safarini na katika hali ya ukazi kabla ya kuchomoza kwa jua.
[1] Majmuu´-ul-Fataawaa (12/295-296).
- Mhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Ahkaam-ul-Musaafir, uk. 59
- Imechapishwa: 15/05/2022
Swali 43: Inafaa kwa muislamu akiwa ni msafiri safari ndefu akakusanya swalah mwishoni mwa siku[1]?
Jibu: Haya ni maovu makubwa. Hakuna mwanachuoni yeyote anayeonelea hivo. Mambo yalivo ni kwamba inafaa kwa msafiri kukusanya kati ya Dhuhr na ´Aswr peke yake katika wakati wa kimoja wapo kabla ya jua kuwa manjano, kati ya Maghrib na ´Ishaa katika wakati wa kimoja wapo kabla ya nusu usiku. Kuhusu Fajr haikusanywi na nyingine. Bali daima inaswaliwa ndani ya wakati wake safarini na katika hali ya ukazi kabla ya kuchomoza kwa jua.
[1] Majmuu´-ul-Fataawaa (12/295-296).
Mhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: Ahkaam-ul-Musaafir, uk. 59
Imechapishwa: 15/05/2022
https://firqatunnajia.com/43-msafiri-kukusanya-swalah-mwishoni-mwa-siku/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)