Swali 43: Je, ni Sunnah kunyanyua mikono sambamba na Takbiyr wakati wa kuswalia jeneza?
Jibu: Sunnah ni kunyanyua mikono sambamba na Takbiyr zote. Kutokana na yaliyothibiti kutoka kwa Ibn ´Umar na Ibn ´Abbaas (Radhiya Allaahu ´anhumaa) ya kuwa walikuwa wakiinyanyua sambamba na Takbiyr zote. Ameipokea ad-Daaraqutwniy kutoka kwa Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) kutoka katika Hadiyth ya Ibn ´Umar kwa cheni ya wapokezi nzuri.
- Mhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Ahkaam-ul-Janaa-iz, uk. 34-35
- Imechapishwa: 20/12/2021
Swali 43: Je, ni Sunnah kunyanyua mikono sambamba na Takbiyr wakati wa kuswalia jeneza?
Jibu: Sunnah ni kunyanyua mikono sambamba na Takbiyr zote. Kutokana na yaliyothibiti kutoka kwa Ibn ´Umar na Ibn ´Abbaas (Radhiya Allaahu ´anhumaa) ya kuwa walikuwa wakiinyanyua sambamba na Takbiyr zote. Ameipokea ad-Daaraqutwniy kutoka kwa Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) kutoka katika Hadiyth ya Ibn ´Umar kwa cheni ya wapokezi nzuri.
Mhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: Ahkaam-ul-Janaa-iz, uk. 34-35
Imechapishwa: 20/12/2021
https://firqatunnajia.com/43-mikono-inanyanyuliwa-sambamba-na-takbiyr-katika-swalah-ya-jeneza/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)