Kuwa na utambuzi juu ya Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) ni miongoni mwa mambo ya wajibu ya dini na ni katika misingi ya Uislamu. Shaykh-ul-Islaam Muhammad bin ´Abdil-Wahhaab (Rahimahu Allaah) amesema:
“Tambua – Allaah akurehemu – ya kwamba ni wajibu juu yetu kujifunza masuala manne:
Suala la kwanza: Ujuzi wa kumtambua Allaah, Mtume Wake na dini ya Uislamu kwa dalili.”[1]
Kama ambavyo inakupasa kumtambua Allaah basi vivyo hivyo ni lazima kuwa na utambuzi kuhusu Mtume Wake (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) na dini ya Uislamu kwa dalili. Hii ndio misingi mitatu ambayo maiti anaulizwa nayo anapolazwa ndani ya kaburi lake.
[1] Thaalathat-ul-Usuwl.
- Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: at-Ta´liyqaat al-Mukhtaswarah ´alaal-´Aqiydah at-Twahaawiyyah, uk. 57
- Imechapishwa: 05/12/2022
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)