42 – ´Aliy bin ´Abdillaah ametuhadithia: Sufyaan ametuhadithia: ´Amr amesema, kutoka kwa Muhammad bin ´Aliy bin Husayn, ambaye amesimulia kwamba Mtume wa Allaah (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) amesema:
من ينسى الصلاة [عليَّ] خطئ طريق الجنة
”Atakayeacha kuniswalia, basi atapotea njia ya Peponi.”[1]
Sufyaan amesema: Bwana mmoja, pamoja na ´Amr, amesema: Nimemsikia Muhamamd bin ´Aliy akisema: Mtume wa Allaah (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) amesema:
من ذكرت عنده فلم يصل عليَّ خطئ طريق الجنة
”Ambaye nitatajwa mbele yake na asiniswalie, basi atapotea njia ya Peponi.”
Kisha Sufyaan akamtaja bwana mmoja huyo; Bassaam as-Swayrafiy.
[1] Cheni ya wapokezi wake ni Swahiyh, lakini kuna Swahabah anayekosekana. Hapa kuna ufuatiliaji wenye nguvu kabisa wa Ja´far bin Muhammad, kutoka kwa ´Amr bin Diynaar, ambao umesimiliwa na Sufyaan bin ´Uyaynah. Mwanzoni hakumtaja bwana ambaye ameipokea kutoka kwa Muhammad bin ´Aliy, kisha baadaye akamtaja kama Bassaam, ambaye ni Ibn ´Abdillaah as-Swayrafiy, naye ni mwaminifu.
- Mhusika: Imaam Ismaa´iyl bin Ishaaq al-Maalikiy
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Fadhwl-us-Swalaah ´alaan-Nabiy, uk. 47
- Imechapishwa: 16/01/2024
- taaliki: Imaam Muhammad Naaswir-ud-Diyn al-Albaaniy
42 – ´Aliy bin ´Abdillaah ametuhadithia: Sufyaan ametuhadithia: ´Amr amesema, kutoka kwa Muhammad bin ´Aliy bin Husayn, ambaye amesimulia kwamba Mtume wa Allaah (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) amesema:
من ينسى الصلاة [عليَّ] خطئ طريق الجنة
”Atakayeacha kuniswalia, basi atapotea njia ya Peponi.”[1]
Sufyaan amesema: Bwana mmoja, pamoja na ´Amr, amesema: Nimemsikia Muhamamd bin ´Aliy akisema: Mtume wa Allaah (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) amesema:
من ذكرت عنده فلم يصل عليَّ خطئ طريق الجنة
”Ambaye nitatajwa mbele yake na asiniswalie, basi atapotea njia ya Peponi.”
Kisha Sufyaan akamtaja bwana mmoja huyo; Bassaam as-Swayrafiy.
[1] Cheni ya wapokezi wake ni Swahiyh, lakini kuna Swahabah anayekosekana. Hapa kuna ufuatiliaji wenye nguvu kabisa wa Ja´far bin Muhammad, kutoka kwa ´Amr bin Diynaar, ambao umesimiliwa na Sufyaan bin ´Uyaynah. Mwanzoni hakumtaja bwana ambaye ameipokea kutoka kwa Muhammad bin ´Aliy, kisha baadaye akamtaja kama Bassaam, ambaye ni Ibn ´Abdillaah as-Swayrafiy, naye ni mwaminifu.
Mhusika: Imaam Ismaa´iyl bin Ishaaq al-Maalikiy
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: Fadhwl-us-Swalaah ´alaan-Nabiy, uk. 47
Imechapishwa: 16/01/2024
taaliki: Imaam Muhammad Naaswir-ud-Diyn al-Albaaniy
https://firqatunnajia.com/42-hadiyth-atakayeacha-kuniswalia/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)