Swali 40: Maamuma aombe du´aa vipi ikiwa hajui kama maiti ni mwanamme au mwanamke[1]?
Jibu: Kuna wasaa katika jambo hili. Akimombea kwa dhamira ya kiume na akamkusudia yule maiti ni sawa na akimwombea msamaha kwa dhamira ya kike ni sawa.
[1] Majmuu´-ul-Fataawaa (13/146).
- Muhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Ahkaam-ul-Janaa-iz, uk. 33
- Imechapishwa: 20/12/2021
Swali 40: Maamuma aombe du´aa vipi ikiwa hajui kama maiti ni mwanamme au mwanamke[1]?
Jibu: Kuna wasaa katika jambo hili. Akimombea kwa dhamira ya kiume na akamkusudia yule maiti ni sawa na akimwombea msamaha kwa dhamira ya kike ni sawa.
[1] Majmuu´-ul-Fataawaa (13/146).
Muhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: Ahkaam-ul-Janaa-iz, uk. 33
Imechapishwa: 20/12/2021
https://firqatunnajia.com/40-maiti-anaombewa-duaa-vipi-asipojulikana-ni-mume-au-mke/