8- Swalah ya ijumaa
Wakati fulani Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) alikuwa akisoma Suurah “al-Jumu´ah” katika Rak´ah ya kwanza na “al-Munaafiquun” katika Rak´ah ya pili. Wakati mwingine akisoma badala yake “al-Ghaashiyah”[1].
Wakati mwingine ilikuwa ikitokea akisoma (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) “al-A´laa” katika ya kwanza na “al-Ghaashiyah” katika ya pili[2].
[1] Muslim na Abuu Daawuud. Imetajwa katika ”al-Irwaa’” (345).
[2] Muslim na Abuu Daawuud. Imetajwa katika ”al-Irwaa’” (345).
- Muhusika: Imaam Muhammad Naaswir-ud-Diyn al-Albaaniy
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Swifatu Swalaat-in-Nabiy, uk. 107
- Imechapishwa: 15/02/2017
8- Swalah ya ijumaa
Wakati fulani Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) alikuwa akisoma Suurah “al-Jumu´ah” katika Rak´ah ya kwanza na “al-Munaafiquun” katika Rak´ah ya pili. Wakati mwingine akisoma badala yake “al-Ghaashiyah”[1].
Wakati mwingine ilikuwa ikitokea akisoma (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) “al-A´laa” katika ya kwanza na “al-Ghaashiyah” katika ya pili[2].
[1] Muslim na Abuu Daawuud. Imetajwa katika ”al-Irwaa’” (345).
[2] Muslim na Abuu Daawuud. Imetajwa katika ”al-Irwaa’” (345).
Muhusika: Imaam Muhammad Naaswir-ud-Diyn al-Albaaniy
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: Swifatu Swalaat-in-Nabiy, uk. 107
Imechapishwa: 15/02/2017
https://firqatunnajia.com/40-kisomo-cha-qur-aan-katika-swalah-ya-ijumaa/
Mshirikishe mwenzako:
- Share on Telegram (Opens in new window) Telegram
- Share on WhatsApp (Opens in new window) WhatsApp
- Print (Opens in new window) Print
- Email a link to a friend (Opens in new window) Email
- Share on Facebook (Opens in new window) Facebook
- Share on X (Opens in new window) X
- Share on Pocket (Opens in new window) Pocket