Swali 39: Tunataka uwape nasaha vijana wanaoghushi mtihani katika Ramadhaan?
Jibu: Wanafunzi wamenishinda na hawasikilizi maneno yangu. Wakati nilipokuwa nikiwachunga katika mtihani nilikuwa nawakumbusha maneno ya Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam):
“Mwenye kujipamba kwa kitu asichokuwa nacho ni kama mtu aliyevaa nguo mbili za uongo.”[1]
Ni juu yako kutosheka na elimu uliyopewa na Allaah. Inakutosha kutatua matatizo.
[1] al-Bukhaariy (5219) na Muslim (2129).
- Muhusika: ´Allaamah Ahmad bin Yahyaa an-Najmiy
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Fataawaas-Swiyaam, uk. 57
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window) Telegram
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window) WhatsApp
- Click to print (Opens in new window) Print
- Click to email a link to a friend (Opens in new window) Email
- Click to share on Facebook (Opens in new window) Facebook
- Click to share on X (Opens in new window) X
- Click to share on Pocket (Opens in new window) Pocket