Muslim amepokea katika “as-Swahiyh” yake kupitia kwa Abu Hassan aliyesema:
“Watoto wangu wawili wa kiume walifariki. Nikamuuliza Abu Hurayrah kama anaweza kuwa amesikia kitu kutoka kwa Mtume wa Allaah (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) ambacho kinaweza kuwafanya wakawa na furaha baada ya wafiliwa wetu. Akasema: “Ndio. Watoto wao ni vijana wa Peponi. Watakutana na baba zao – au wazazi wao – na wawashike nguo zao – au mikono yao – kama ninavyokushika nguo zako na hawatowaacha mpaka pale Allaah atapowaingiza Peponi wao na baba zao.”
al-Bukhaariy na Muslim wamepokea kupitia kwa Abu Sa´iyd al-Khudriy ya kwamba Mtume wa Allaah (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) alisema kuwaambia wanawake:
“Hakuna mwanamke yeyote kati yenu atayefiwa na watoto watatu isipokuwa watakuwa ni ngao kwake kutokamana na Moto.” Mwanamke mmoja akasema: “Watoto wawili?” Akasema (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam): “Na wawili.”
- Mhusika: Imaam Muhammad bin Muhammad al-Hanbaliy al-Manbajiy
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Tasliyatu Ahl-il-Maswaa-ib, uk. 72-74
- Imechapishwa: 14/10/2016
Muslim amepokea katika “as-Swahiyh” yake kupitia kwa Abu Hassan aliyesema:
“Watoto wangu wawili wa kiume walifariki. Nikamuuliza Abu Hurayrah kama anaweza kuwa amesikia kitu kutoka kwa Mtume wa Allaah (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) ambacho kinaweza kuwafanya wakawa na furaha baada ya wafiliwa wetu. Akasema: “Ndio. Watoto wao ni vijana wa Peponi. Watakutana na baba zao – au wazazi wao – na wawashike nguo zao – au mikono yao – kama ninavyokushika nguo zako na hawatowaacha mpaka pale Allaah atapowaingiza Peponi wao na baba zao.”
al-Bukhaariy na Muslim wamepokea kupitia kwa Abu Sa´iyd al-Khudriy ya kwamba Mtume wa Allaah (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) alisema kuwaambia wanawake:
“Hakuna mwanamke yeyote kati yenu atayefiwa na watoto watatu isipokuwa watakuwa ni ngao kwake kutokamana na Moto.” Mwanamke mmoja akasema: “Watoto wawili?” Akasema (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam): “Na wawili.”
Mhusika: Imaam Muhammad bin Muhammad al-Hanbaliy al-Manbajiy
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: Tasliyatu Ahl-il-Maswaa-ib, uk. 72-74
Imechapishwa: 14/10/2016
https://firqatunnajia.com/39-fadhila-za-kufiliwa-na-watoto-wawili/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)