Swali 38: Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) alishukia wapi Madiyanah?
Jibu: Alipofika Madiynah na kila mmoja Madiynah katika Wanusuraji akimkaribisha ashukie kwake, alisema:
”Mwache. Anaamrishwa.”
Bi maana ngamia wake.
Hatimaye akaegesha maeneo ambapo baadaye ulijengwa msikiti wake. Abu Ayyuub Khaalid bin Zayd akampokea mzigo wake. Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) alikaa kwake mpaka alipojenga msikiti wake na makazi yake – na Allaah ndiye mjuzi zaidi.
- Mhusika: ´Allaamah Haafidhw bin Ahmad al-Hakamiy
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Amaaliy fiys-Siyrah an-Nabawiyyah, uk. 106
- Imechapishwa: 04/10/2023
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)